Swali: Ni sahihi kuwa uvumilivu wa Uislamu na jambo la kutokuwepo ulazimishaji katika dini unajuzisha kujenga hekalu za mabudha na kanisa za manaswara katika miji ya Kiislamu?
Jibu: Ni batili. Wasiwezeshwe hata kidogo kujenga kanisa wala hekalu za kishirikina katika miji ya Kiislamu. Kanisa ambazo zimekutwa ndio zinaachwa. Zikibomoka hazijengwi tena. Makanisa yaachwe ikiwa ni ya makafiri ambao waislamu wana mkataba nao. Hata hivyo zisijengwi tena katika miji ya Kiislamu. Zikibomoka zisijengwi tena.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32)
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni sahihi kuwa uvumilivu wa Uislamu na jambo la kutokuwepo ulazimishaji katika dini unajuzisha kujenga hekalu za mabudha na kanisa za manaswara katika miji ya Kiislamu?
Jibu: Ni batili. Wasiwezeshwe hata kidogo kujenga kanisa wala hekalu za kishirikina katika miji ya Kiislamu. Kanisa ambazo zimekutwa ndio zinaachwa. Zikibomoka hazijengwi tena. Makanisa yaachwe ikiwa ni ya makafiri ambao waislamu wana mkataba nao. Hata hivyo zisijengwi tena katika miji ya Kiislamu. Zikibomoka zisijengwi tena.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (32)
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/hekalu-za-makafiri-zisijengwi-katika-miji-ya-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket