Swali: Ni vipi mtu atanuia kwa niaba ya mtu mwingine?
Jibu: Niaba inakuwa katika yale mambo yanayokubalika unaibu. Kwa mfano niaba inakuwa katika kugawa swadaqah, kulipa deni, katika Hajj na ´Umrah ikiwa mtu ni mnyonge na mtumzima asiyeweza. Ni sawa pia katika kumuwakilisha mtu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/11974/كيفية-النيابة-عن-الغير-في-العبادة
- Imechapishwa: 15/11/2023
Swali: Ni vipi mtu atanuia kwa niaba ya mtu mwingine?
Jibu: Niaba inakuwa katika yale mambo yanayokubalika unaibu. Kwa mfano niaba inakuwa katika kugawa swadaqah, kulipa deni, katika Hajj na ´Umrah ikiwa mtu ni mnyonge na mtumzima asiyeweza. Ni sawa pia katika kumuwakilisha mtu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/11974/كيفية-النيابة-عن-الغير-في-العبادة
Imechapishwa: 15/11/2023
https://firqatunnajia.com/kumuwakilisha-mtu-katika-mambo-ya-ibaadah/