Swali: Je, una nasaha yoyote kwa wale wenye kupinga kumuoza msichana mdogo na wanasema kuwa kufanya hivo ni kumdhulumu?
Jibu: Kumdhulumu ni kumkatalia kuolewa. Huku ndio kumdhulumu. Ama mwenye kumwambia kuwa unataka kuolewa na mtu mwema, huu ndio uadilifu na kumrehemu. Dhuluma ni kule kumzuia mwanamke na haki yake ya Kishari´ah na kumpa haki ya kikanuni na ya ki-Twaaghuut. Hii ndio dhuluma ya kihakika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-11.MP3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Je, una nasaha yoyote kwa wale wenye kupinga kumuoza msichana mdogo na wanasema kuwa kufanya hivo ni kumdhulumu?
Jibu: Kumdhulumu ni kumkatalia kuolewa. Huku ndio kumdhulumu. Ama mwenye kumwambia kuwa unataka kuolewa na mtu mwema, huu ndio uadilifu na kumrehemu. Dhuluma ni kule kumzuia mwanamke na haki yake ya Kishari´ah na kumpa haki ya kikanuni na ya ki-Twaaghuut. Hii ndio dhuluma ya kihakika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-11.MP3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumuozesha-msichana-mdogo-ni-kumdhulumu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)