Swali: Nimtii baba yangu kama nataka kuoa katika familia fulani na baba yangu anataka nioe katika familia nyingine na nikifanya hivyo ni katika wema?
Jibu: Ndio, kiwa mwanamke anayemtaka baba yako ni mwanamke mzuri na mwema, mtii baba yako katika hilo. Ni katika kumfanyia wema. Ikiwa mwanamke sio mwema, usimtii mzazi wako katika jambo hili ambalo si la sawa kwako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-11.MP3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Nimtii baba yangu kama nataka kuoa katika familia fulani na baba yangu anataka nioe katika familia nyingine na nikifanya hivyo ni katika wema?
Jibu: Ndio, kiwa mwanamke anayemtaka baba yako ni mwanamke mzuri na mwema, mtii baba yako katika hilo. Ni katika kumfanyia wema. Ikiwa mwanamke sio mwema, usimtii mzazi wako katika jambo hili ambalo si la sawa kwako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (61) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-03-11.MP3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kijana-anataka-kuoa-msichana-fulani-na-mzazi-ataka-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)