Swali: Vipi ikiwa mtu atasema: ”Ninakuomba kwa nuru ya uso Wako uliong’aa”?
Jibu: Hakuna ubaya. Hili limetajwa katika baadhi ya Hadiyth: ”Ninakuomba kwa nuru ya uso Wako iliyoang’aza mbingu na ardhi.” Hakuna tatizo katika hilo. Nuru Yake ni kubwa, kwayo dunia imeangaza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1326/حكم-قول-اسالك-بنور-وجهك-الذي-اشرقت-له
- Imechapishwa: 21/06/2026
Swali: Vipi ikiwa mtu atasema: ”Ninakuomba kwa nuru ya uso Wako uliong’aa”?
Jibu: Hakuna ubaya. Hili limetajwa katika baadhi ya Hadiyth: ”Ninakuomba kwa nuru ya uso Wako iliyoang’aza mbingu na ardhi.” Hakuna tatizo katika hilo. Nuru Yake ni kubwa, kwayo dunia imeangaza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1326/حكم-قول-اسالك-بنور-وجهك-الذي-اشرقت-له
Imechapishwa: 21/06/2026
https://firqatunnajia.com/kumuomba-allaah-kwa-nuru-ya-uso-wake/