Swali: Mwanafunzi akihudhuria kwenye darsa hili lakini pasi na ridhaa ya wazazi wake ambao wamemuomba awafikishe sehemu fulani ambapo akawa amekataa na badala yake akahudhuria kwenye darsa hili. Ni ipi hukumu? Una mnasihi vipi?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Alitakiwa ampeleke baba yake hata kama atachelewa darsa. Kumtendea mzazi wema ndio kunatakiwa kupewa kipaumbele. Amfikishe baba yake sehemu anayotaka midhali hakuna maasi hata kama atachelewa darsa.
Leo darsa zinarekodiwa na kuhifadhiwa. Mtu anaweza kusikiliza mkanda iwapo darsa itampita.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (04) http://alfawzan.af.org.sa/node/2047
- Imechapishwa: 12/11/2016
Swali: Mwanafunzi akihudhuria kwenye darsa hili lakini pasi na ridhaa ya wazazi wake ambao wamemuomba awafikishe sehemu fulani ambapo akawa amekataa na badala yake akahudhuria kwenye darsa hili. Ni ipi hukumu? Una mnasihi vipi?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Alitakiwa ampeleke baba yake hata kama atachelewa darsa. Kumtendea mzazi wema ndio kunatakiwa kupewa kipaumbele. Amfikishe baba yake sehemu anayotaka midhali hakuna maasi hata kama atachelewa darsa.
Leo darsa zinarekodiwa na kuhifadhiwa. Mtu anaweza kusikiliza mkanda iwapo darsa itampita.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (04) http://alfawzan.af.org.sa/node/2047
Imechapishwa: 12/11/2016
https://firqatunnajia.com/kumtii-mzazi-au-kufuata-darsa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)