Swali: Je, mwanamke mwenye hedhi anapokufa anaswaliwa msikitini?
Jibu: Ndio, hapana vibaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salam) aliwaswalia wanawake msikitini na hakuuliza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23555/هل-يصلى-على-الحاىض-بالمسجد-اذا-ماتت
- Imechapishwa: 10/02/2024
Swali: Je, mwanamke mwenye hedhi anapokufa anaswaliwa msikitini?
Jibu: Ndio, hapana vibaya. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salam) aliwaswalia wanawake msikitini na hakuuliza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23555/هل-يصلى-على-الحاىض-بالمسجد-اذا-ماتت
Imechapishwa: 10/02/2024
https://firqatunnajia.com/kumswalia-mwanamke-mwenye-hedhi-msikitini/