Swali: Baadhi ya watu wanaposoma Kauli Yake (Ta´ala):
صُحُفِ إِبْرَاهِيمَ وَمُوسَىٰ
“Swahifa za Ibraahiym na Muusa.” (89:19)
Wanasema “Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam”. Je, kusema hivi inajuzu?
Jibu: Halikuthibiti. Haikuthibiti kuwa inasemwa hivi pindi Aayah hii inaposomwa katika swalah ya ijumaa. Halikuthibiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Baadhi ya watu wanaposoma Kauli Yake (Ta´ala):
صُحُفِ إِبْرَاهِيمَ وَمُوسَىٰ
“Swahifa za Ibraahiym na Muusa.” (89:19)
Wanasema “Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam”. Je, kusema hivi inajuzu?
Jibu: Halikuthibiti. Haikuthibiti kuwa inasemwa hivi pindi Aayah hii inaposomwa katika swalah ya ijumaa. Halikuthibiti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/kumswalia-mtume-ibraahiym-na-muusa-baada-ya-kusoma-al-alaa/