Swali: Ni ipi hukumu ya kumswalia maiti naye yumo ndani ya kaburi pamoja na kujua ya kwamba yule anayetaka kumswalia ameshamswalia kabla ya kuzikwa?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswalia kaburi la mwanamke ambaye alikuwa anausimamia Msikiti [kwa usafi] na akafa usiku. Wakamwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu kufa kwake na hakuwepo, hivyo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaenda na wakamuonesha mahali lilipo kaburi lake na akamswalia. Kuliswalia kaburi kwa yule ambaye amepitwa na Swalah ya jeneza kabla ya kuzikwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Ama kuhusiana na mtu ambaye ameshamswalia kabla ya kuzikwa, hii inatosha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_08.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kumswalia maiti naye yumo ndani ya kaburi pamoja na kujua ya kwamba yule anayetaka kumswalia ameshamswalia kabla ya kuzikwa?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswalia kaburi la mwanamke ambaye alikuwa anausimamia Msikiti [kwa usafi] na akafa usiku. Wakamwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu kufa kwake na hakuwepo, hivyo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaenda na wakamuonesha mahali lilipo kaburi lake na akamswalia. Kuliswalia kaburi kwa yule ambaye amepitwa na Swalah ya jeneza kabla ya kuzikwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kama alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Ama kuhusiana na mtu ambaye ameshamswalia kabla ya kuzikwa, hii inatosha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_08.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/kumswalia-maiti-kaburini-kwa-yule-aliyepitwa-na-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)