Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma al-Faatihah juu ya roho ya maiti siku ile aliyokufa?
Jibu: Hili halina asli. Maiti hasomewi chochote katika Qur-aan, si al-Faatihah wala Suurah nyingine. Halikuthibiti. Kilichothibiti ni kumuombea Du´aa na kumtolea Swadaqah. Ikiwa unataka kumnufaisha maiti mtolee Swadaqah. Ikiwa unataka kumnufaisha maiti muombee msamaha na muombee Du´aa. Ama kufanya mambo yaliyozushwa, hili halijuzu na wala hayamfai kitu maiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (5) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-22.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket