Swali: Mwanamme akimtaliki mke wake hali ya kuwa ni mjamzito talaka moja na punde tu kabla ya kujifungua mtoto akamrejea. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Muda wa kuwa ni mwenye mimba na hajajifungua, yuko ndani ya eda.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 27/05/2023