Swali: Mwenye hedhi kufanya jimaa akisafika kabla ya kuoga.
Jibu: Hapana, haijuzu:
فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ
”Watakapotwaharika basi waendeeni.”
Mpaka wajisafishe:
فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّـهُ
”Watakapotwaharika basi waendeeni kupitia pale alipokuamrisheni Allaah.”[1]
Swali: Je, jambo hilo linalazimisha kutoa kafara?
Jibu: Ndio, akimwingilia kabla ya kuoga.
[1] 02:222
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23562/حكم-وطء-الحاىض-اذا-طهرت-قبل-الاغتسال
- Imechapishwa: 11/02/2024
Swali: Mwenye hedhi kufanya jimaa akisafika kabla ya kuoga.
Jibu: Hapana, haijuzu:
فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ
”Watakapotwaharika basi waendeeni.”
Mpaka wajisafishe:
فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّـهُ
”Watakapotwaharika basi waendeeni kupitia pale alipokuamrisheni Allaah.”[1]
Swali: Je, jambo hilo linalazimisha kutoa kafara?
Jibu: Ndio, akimwingilia kabla ya kuoga.
[1] 02:222
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23562/حكم-وطء-الحاىض-اذا-طهرت-قبل-الاغتسال
Imechapishwa: 11/02/2024
https://firqatunnajia.com/kumjamii-aliyesafika-kutoka-katika-hedhi-kabla-ya-kuoga/