Swali: Imamu akiswali ´Aswr na akasimama katika Rak´ah ya tano. Je, maamuma amfuate?
Jibu: Hapana. Maamuma akijua kuwa imamu amezidisha, basi asimfuate. Akimfuata swalah yake inabatilika. Anatakiwa kuketi chini na ima atoe salamu kivyake au amsubiri imamu na kutoa salamu pamoja naye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 01/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)