Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kumfanya mume wa dada yake kuwa Mahram yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamme hakai chemba na mwanamke yeyote isipokuwa shaytwaan huwa ni watatu wao.” Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Unaonaje Hamuu?” Akasema: “Hamuu ni kifo.”
Hamuu ni kaka yake mume. Huyu ni uduyuthi ambapo mke wa mtu akapigiwa simu na ambaye si Mahram yake. Moyoni mwake hamna wivu juu ya mke wake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Waqafaat ma´aa Hadiyth tatadaa´ alaykum-ul-Umamu https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/wgfaaat.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2022
Swali: Ni ipi hukumu mwanamke kumfanya mume wa dada yake kuwa Mahram yake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamme hakai chemba na mwanamke yeyote isipokuwa shaytwaan huwa ni watatu wao.” Wakasema: “Ee Mtume wa Allaah! Unaonaje Hamuu?” Akasema: “Hamuu ni kifo.”
Hamuu ni kaka yake mume. Huyu ni uduyuthi ambapo mke wa mtu akapigiwa simu na ambaye si Mahram yake. Moyoni mwake hamna wivu juu ya mke wake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Waqafaat ma´aa Hadiyth tatadaa´ alaykum-ul-Umamu https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/wgfaaat.mp3
Imechapishwa: 19/09/2022
https://firqatunnajia.com/kumfanya-mume-wa-dada-kuwa-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)