Swali: Je, kama kumebaki Rak´ah moja ya Raatibah mtu aikate swalah yake?
Jibu: Ndio, aikate. Isipokuwa ikiwa kama ameshaenda Rukuu´ ya pili amalize swalah yake.
Swali: Baadhi yao wanasema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna swalah nyingine isipokuwa ile ya faradhi.”
Hakusema:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna sehemu ya swalah isipokuwa ile ya faradhi.”
Yeye hivi sasa anaswali sehemu ya swalah iliyobaki.
Jibu: Rak´ah huitwa kuwa ni swalah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22107/ماذا-يفعل-من-يصلي-الراتبة-واقيمت-الصلاة
- Imechapishwa: 26/10/2022
Swali: Je, kama kumebaki Rak´ah moja ya Raatibah mtu aikate swalah yake?
Jibu: Ndio, aikate. Isipokuwa ikiwa kama ameshaenda Rukuu´ ya pili amalize swalah yake.
Swali: Baadhi yao wanasema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna swalah nyingine isipokuwa ile ya faradhi.”
Hakusema:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna sehemu ya swalah isipokuwa ile ya faradhi.”
Yeye hivi sasa anaswali sehemu ya swalah iliyobaki.
Jibu: Rak´ah huitwa kuwa ni swalah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22107/ماذا-يفعل-من-يصلي-الراتبة-واقيمت-الصلاة
Imechapishwa: 26/10/2022
https://firqatunnajia.com/kumekimiwa-swalah-ya-faradhi-baada-ya-kubaki-rakah-moja-ya-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)