Swali: Kuweka waridi juu ya kaburi.
Jibu: Ni maovu na haijuzu. Lisipambwe na wala kusiwekwe waridi juu yake.
Swali: Kuweka alama juu ya kaburi.
Jibu: Alama haina neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kufa ´Uthmaan bin Madh´uun (Radhiya Allaahu ´anh) aliweka alama ili amtembelee. Akiweka alama ya jiwe, mbao au kitu mfano wake ni sawa.
Swali: Kuandika ni jambo limekatazwa?
Jibu: Hapana, haijuzu kuandika. Kusijengwe juu yake, kusikaliwe juu yake wala kusiandikwe juu yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza yote hayo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22108/حكم-وضع-العلامة-والورد-والكتابة-على-القبر
- Imechapishwa: 26/10/2022
Swali: Kuweka waridi juu ya kaburi.
Jibu: Ni maovu na haijuzu. Lisipambwe na wala kusiwekwe waridi juu yake.
Swali: Kuweka alama juu ya kaburi.
Jibu: Alama haina neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kufa ´Uthmaan bin Madh´uun (Radhiya Allaahu ´anh) aliweka alama ili amtembelee. Akiweka alama ya jiwe, mbao au kitu mfano wake ni sawa.
Swali: Kuandika ni jambo limekatazwa?
Jibu: Hapana, haijuzu kuandika. Kusijengwe juu yake, kusikaliwe juu yake wala kusiandikwe juu yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza yote hayo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22108/حكم-وضع-العلامة-والورد-والكتابة-على-القبر
Imechapishwa: 26/10/2022
https://firqatunnajia.com/alama-inayokubaliwa-na-isiyokubaliwa-kwenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)