Swali: Kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah ni haramu na shirki. Ni ipi hukumu ya Shari´ah juu ya kumchinjia mgeni au ndugu?
Jibu: Kuchinja kwa ajili ya kujikurubisha kwa yule unayemchinjia, kwa ajili ya kuleta manufaa na kuzuia madhara, ni shirki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.
Ama kuhusu kuchinja kwa jina la Allaah (Ta´ala) kwa ajili ya kumlishiza mgeni au ndugu ni sawa.
- Muhusika: al-Najnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/129)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah ni haramu na shirki. Ni ipi hukumu ya Shari´ah juu ya kumchinjia mgeni au ndugu?
Jibu: Kuchinja kwa ajili ya kujikurubisha kwa yule unayemchinjia, kwa ajili ya kuleta manufaa na kuzuia madhara, ni shirki. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.
Ama kuhusu kuchinja kwa jina la Allaah (Ta´ala) kwa ajili ya kumlishiza mgeni au ndugu ni sawa.
Muhusika: al-Najnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/129)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kumchinjia-mgeni-au-ndugu-ni-shirki/