Swali: Wakati fulani inatokea kondoo akaanguka kutoka kwenye mlima kisha mmiliki wake akawahi kumchinja kabla ya kufa. Akimwacha, atakufa kwa hali yoyote. Je, anakuwa halali kwa uchinjaji huu?
Jibu: Akimuwahi wakati bado anaishi maisha tulivu, kichinjwa hicho ni halali kwa mujibu wa maoni sahihi. Lakini kama atamuwahi wakati yuko katika hali ya kukata roho, sio halali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 09/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)