Swali: Ni ipi hukumu ya kumchelewesha maiti siku moja au mbili kwa lengo ndugu zake waweze kuwahi kumswalia ambao ni watu wengi?
Jibu: Hapana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Harakisheni jeneza.”
Anatakiwa kuharakishwa kwenda kwenye kaburi lake na wala asibakizwe. [… sauti haisikiki vizuri… ] Maiti anatakiwa kuharakishwa na wale waliobaki watamuombea du´aa popote walipo na watamuombea msamaha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 24/08/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)