Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumbeba Umaamah kunapingana na unyenyekevu?
Jibu: Hakupingani na unyenyekevu muda wa kuwa mswaliji anaweza na hajikakami. Isitoshe kufanya hivo ni dalili na ili kuwafunza watu jambo hilo. Ni kama ambavo aliswali (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya mimbari na akashuka ili awafunze watu kwamba jambo kama hilo haliitii swalah kasoro.
Swali: Vipi kuhusu yale yaliyopokelewa kwamba kutikisika mara tatu kunaharibu swalah?
Jibu: Hapana. Baadhi ya mapokezi hayana kikomo maalum. Hata hivyo mtu anatakiwa kufanya unyenyekevu na asicheze. Kumbeba au kumtua chini sio jambo linalofanywa kwa kufuatanisha. Alifanya hivo kwa ajili ya manufaa ya swalah kwa ajili ya kubainisha na kufunza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23934/هل-حمل-الطفل-في-الصلاة-ينافي-الخشوع
- Imechapishwa: 01/08/2024
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumbeba Umaamah kunapingana na unyenyekevu?
Jibu: Hakupingani na unyenyekevu muda wa kuwa mswaliji anaweza na hajikakami. Isitoshe kufanya hivo ni dalili na ili kuwafunza watu jambo hilo. Ni kama ambavo aliswali (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya mimbari na akashuka ili awafunze watu kwamba jambo kama hilo haliitii swalah kasoro.
Swali: Vipi kuhusu yale yaliyopokelewa kwamba kutikisika mara tatu kunaharibu swalah?
Jibu: Hapana. Baadhi ya mapokezi hayana kikomo maalum. Hata hivyo mtu anatakiwa kufanya unyenyekevu na asicheze. Kumbeba au kumtua chini sio jambo linalofanywa kwa kufuatanisha. Alifanya hivo kwa ajili ya manufaa ya swalah kwa ajili ya kubainisha na kufunza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23934/هل-حمل-الطفل-في-الصلاة-ينافي-الخشوع
Imechapishwa: 01/08/2024
https://firqatunnajia.com/kumbeba-mtoto-wakati-wa-swalah-kunapingana-na-unyenyekevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)