Swali: Vipi ikiwa nimemjua ndugu yangu wa kunyonya baada ya wasichana wameshakuwa wakubwa.
Jibu: Haijalishi kitu. Ikishatambulika tu basi.
Swali: Je, wanapata dhambi ikiwa aibu itawazuilia?
Jibu: Udhahiri ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Mpe idhini, kwani huyo ni ami yako.”
Asende kinyume na Shari´ah. Ikiwa yuko na aibu basi akae naye wakiwa na mtu mwingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23923/حكم-امتناع-المراة-عن-اخيها-من-الرضاعة
- Imechapishwa: 01/08/2024
Swali: Vipi ikiwa nimemjua ndugu yangu wa kunyonya baada ya wasichana wameshakuwa wakubwa.
Jibu: Haijalishi kitu. Ikishatambulika tu basi.
Swali: Je, wanapata dhambi ikiwa aibu itawazuilia?
Jibu: Udhahiri ni kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Mpe idhini, kwani huyo ni ami yako.”
Asende kinyume na Shari´ah. Ikiwa yuko na aibu basi akae naye wakiwa na mtu mwingine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23923/حكم-امتناع-المراة-عن-اخيها-من-الرضاعة
Imechapishwa: 01/08/2024
https://firqatunnajia.com/dada-wa-kunyonya-anaona-aibu-kukaa-na-ndugu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)