Swali: Endapo mtu atasahau Dhikr baada ya kumalizika swalah:
واللهم أنت السلام ومنك السلام تباركت يا ذا الجلال والإكرام
“Ee Allaah! Wewe ndiye as-Salaam, amani inatoka Kwako, umebarikika, Ee Mwenye utukufu na ukarimu.”
kwa sababu ya kughafilika na akakumbuka baada ya kitambo azisome baada ya kuondoka katika swalah kwa kitambo fulani?
Jibu: Azidiriki kwa njia ya kufanya Dhikr kwa wingi. Vinginevyo ni Sunnah iliyopita nafasi yake. Azidiriki kwa njia ya kumtaja Allaah (´Azza wa Jall), kwa hakuna wakati maalum wa kumtaja Allaah. Ndani ya mchana na usiku wote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23065/هل-يشرع-قضاء-اذكار-الصلاة-بعدها-بمدة
- Imechapishwa: 24/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)