Swali: Kuna mtu amekufa akifa akiwa na deni na hakuacha mtu awezaye kumlipia nalo. Je, inafaa kulipa deni hilo kutoka katika pesa ya zakaah?
Jibu: Haijuzu kulipa deni la maiti kutoka katika pesa ya zakaah. Lakini kama alilichukua kwa nia ya kulipa baadaye basi Allaah atamlipia nalo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/377)
- Imechapishwa: 26/04/2026
Swali: Kuna mtu amekufa akifa akiwa na deni na hakuacha mtu awezaye kumlipia nalo. Je, inafaa kulipa deni hilo kutoka katika pesa ya zakaah?
Jibu: Haijuzu kulipa deni la maiti kutoka katika pesa ya zakaah. Lakini kama alilichukua kwa nia ya kulipa baadaye basi Allaah atamlipia nalo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/377)
Imechapishwa: 26/04/2026
https://firqatunnajia.com/kulipa-deni-kwa-pesa-ya-zakaah/