Swali: Ni ipi hukumu ya yale yanayofanywa na baadhi ya waislamu magharibini ambapo wanageuza makanisa, masunagogi na sehemu zingine za kikafiri kuwa misikiti?
Jibu: Ni sawa kuswali kwenye kanisa kama ni kusafi na hakuna picha. Ni sawa kuswali hapo muda wa swalah ukifika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimefanyiwa ardhi yote kuwa ni ni mahala pa kuswalia.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya yale yanayofanywa na baadhi ya waislamu magharibini ambapo wanageuza makanisa, masunagogi na sehemu zingine za kikafiri kuwa misikiti?
Jibu: Ni sawa kuswali kwenye kanisa kama ni kusafi na hakuna picha. Ni sawa kuswali hapo muda wa swalah ukifika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimefanyiwa ardhi yote kuwa ni ni mahala pa kuswalia.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuligeuza-kanisa-msikiti/