Swali: Tulinunua mgahawa na mmiliki wake wa kabla akatwambia kuwa jina la mgahawa linarejea kwa kaburi katika mji mmoja wa Kiislamu, jambo ambalo linapelekea kuadhimisha makaburi na watu wanaliunganisha jina hilo na matembezi ya kaburi hilo. Unatunasihi nini? Tunapata dhambi tukiliacha jina hili?
Jibu: Mgahawa huo unaitwaje?
Muulizaji: Sanad Shahpar.
Jibu: Ikiwa maana yake ni shirki hivyo itakuwa haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Tulinunua mgahawa na mmiliki wake wa kabla akatwambia kuwa jina la mgahawa linarejea kwa kaburi katika mji mmoja wa Kiislamu, jambo ambalo linapelekea kuadhimisha makaburi na watu wanaliunganisha jina hilo na matembezi ya kaburi hilo. Unatunasihi nini? Tunapata dhambi tukiliacha jina hili?
Jibu: Mgahawa huo unaitwaje?
Muulizaji: Sanad Shahpar.
Jibu: Ikiwa maana yake ni shirki hivyo itakuwa haijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/jina-la-mgahawa-linalorejea-kwenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket