Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha kulalia ubavu wa kulia. Kwa sababu kufanya hivo ndio bora zaidi. Madaktari wamesema kulalia ubavu wa kulia ni bora kwa mwili na afya zaidi kuliko kulalia ubavu wa kushoto.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/561)
- Imechapishwa: 29/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)