Swali: Baba yangu analala kuanzia wakati wa Swalah ya ´Aswr mpaka Maghrib, kisha kuanzia wakati wa Maghrib mpaka ´Ishaa bila ya Swalah kumpita. Je, nina madhambi lau nitamnasihi kwa kuwa mimi napenda awe macho katika wakati huu kwani hilo ni bora kwake?
Jibu: Ama kulala baada ya ´Aswr haina neno. Hakukuthibiti kinachotolea dalili kukataza. Ama kulala baina ya Maghrib na ´Ishaa imechukizwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anachukia kulala kabla yake na kuongea baada yake (´alayhis-Swalaat was-Salaam). Imechukizwa kulala baada ya Maghrib kwa wanaume na wanawake. Ni vizuri kumuamsha na kumnasihi. Ama asli jambo hili ni sahali Alhamdulillaah.
- Mhusika: Imaaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/catplay.php?catsmktba=155
- Imechapishwa: 19/11/2014
Swali: Baba yangu analala kuanzia wakati wa Swalah ya ´Aswr mpaka Maghrib, kisha kuanzia wakati wa Maghrib mpaka ´Ishaa bila ya Swalah kumpita. Je, nina madhambi lau nitamnasihi kwa kuwa mimi napenda awe macho katika wakati huu kwani hilo ni bora kwake?
Jibu: Ama kulala baada ya ´Aswr haina neno. Hakukuthibiti kinachotolea dalili kukataza. Ama kulala baina ya Maghrib na ´Ishaa imechukizwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anachukia kulala kabla yake na kuongea baada yake (´alayhis-Swalaat was-Salaam). Imechukizwa kulala baada ya Maghrib kwa wanaume na wanawake. Ni vizuri kumuamsha na kumnasihi. Ama asli jambo hili ni sahali Alhamdulillaah.
Mhusika: Imaaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/catplay.php?catsmktba=155
Imechapishwa: 19/11/2014
https://firqatunnajia.com/kulala-baada-ya-aswr-na-baina-ya-maghrib-na-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)