Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amefika Makkah kisha akachelewesha kufanya ´Umrah kwa muda wa masaa kadhaa ili aweze kulala, kupumzika au kula?
Jibu: Hakuna neno hata kama ni kwa masiku kadhaa. Hata hivyo anatakiwa kubaki katika Ihraam yake, asitoke kwenye Ihraam yake au akafanya jambo lililokatazwa. Anatakiwa kulazimiana na Ihraam yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
- Imechapishwa: 27/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye amefika Makkah kisha akachelewesha kufanya ´Umrah kwa muda wa masaa kadhaa ili aweze kulala, kupumzika au kula?
Jibu: Hakuna neno hata kama ni kwa masiku kadhaa. Hata hivyo anatakiwa kubaki katika Ihraam yake, asitoke kwenye Ihraam yake au akafanya jambo lililokatazwa. Anatakiwa kulazimiana na Ihraam yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
Imechapishwa: 27/07/2020
https://firqatunnajia.com/kulala-au-kupumzika-kabla-ya-kufanya-umrah/