Swali: Kuna mtu anakusudia kufanya pengo kati ya mswaliji na aliye pembeni yake.
Jibu: Si lazima kushikanisha mguu na mguu mwingine.
Swali: Ikiwa vazi la mmoja katika waswaliji ni refu na linavuka kongo mbili za miguu…
Jibu: Kwa hali yoyote ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Swali: Nguo yake inaondosha unyenyevu?
Jibu: Ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23300/حكم-تعمد-جعل-فرجة-في-صف-الصلاة
- Imechapishwa: 22/12/2023
Swali: Kuna mtu anakusudia kufanya pengo kati ya mswaliji na aliye pembeni yake.
Jibu: Si lazima kushikanisha mguu na mguu mwingine.
Swali: Ikiwa vazi la mmoja katika waswaliji ni refu na linavuka kongo mbili za miguu…
Jibu: Kwa hali yoyote ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Swali: Nguo yake inaondosha unyenyevu?
Jibu: Ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23300/حكم-تعمد-جعل-فرجة-في-صف-الصلاة
Imechapishwa: 22/12/2023
https://firqatunnajia.com/kukusudia-kuacha-upenyo-katika-safu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)