Swali: Kuna mtu anakusudia kufanya pengo kati ya mswaliji na aliye pembeni yake.
Jibu: Si lazima kushikanisha mguu na mguu mwingine.
Swali: Ikiwa vazi la mmoja katika waswaliji ni refu na linavuka kongo mbili za miguu…
Jibu: Kwa hali yoyote ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Swali: Nguo yake inaondosha unyenyevu?
Jibu: Ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23300/حكم-تعمد-جعل-فرجة-في-صف-الصلاة
- Imechapishwa: 22/12/2023
Swali: Kuna mtu anakusudia kufanya pengo kati ya mswaliji na aliye pembeni yake.
Jibu: Si lazima kushikanisha mguu na mguu mwingine.
Swali: Ikiwa vazi la mmoja katika waswaliji ni refu na linavuka kongo mbili za miguu…
Jibu: Kwa hali yoyote ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Swali: Nguo yake inaondosha unyenyevu?
Jibu: Ashikanishe mguu kwa mguu mwingine na amnasihi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23300/حكم-تعمد-جعل-فرجة-في-صف-الصلاة
Imechapishwa: 22/12/2023
https://firqatunnajia.com/kukusudia-kuacha-upenyo-katika-safu/