Swali: Ni ipi hukumu ya kukhitimisha Qur-aan? Je, ni wajibu ikiwa mtu ataiacha?
Jibu: Imependekezwa kwa baadhi ya wanachuoni na sio wajibu. Ni jambo limefanywa na baadhi ya Maswahabah na wanachuoni. Imependekezwa na sio wajibu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=6906
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kukhitimisha Qur-aan? Je, ni wajibu ikiwa mtu ataiacha?
Jibu: Imependekezwa kwa baadhi ya wanachuoni na sio wajibu. Ni jambo limefanywa na baadhi ya Maswahabah na wanachuoni. Imependekezwa na sio wajibu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=6906
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/kukhitimisha-qur-aan-katika-tarawiyh-ni-wajibu/