Swali: Ambaye alijitenga na Mu´aadh na akaswali peke yake?
Jibu: Ndio, alijitenga na Mu´aadh na akaswali peke yake.
Swali: Je, ndani yake kuna kufaa kujitenga na mkusanyiko wakati wa haja?
Jibu: Ndio, inafaa imamu akirefusha na ikawa ni vigumu kwa baadhi ya waswaliji kwa sababu wana haja au wana unyonge fulani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumkemea, bali alimkemea Mu´aadh.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24166/متى-يجوز-للماموم-الانفراد-عن-الامام
- Imechapishwa: 08/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket