Swali: Inajuzu kujipangusa uso na mikono kwa taulo kabla ya kuosha miguu na khaswa ikiwa mtu anaudhika kwa kubaki na viungo vilivyolowalowa?
Jibu: Ikiwa hatopitwa na kule kufuatanisha, haina neno wakati wa haja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 05/11/2016
Swali: Inajuzu kujipangusa uso na mikono kwa taulo kabla ya kuosha miguu na khaswa ikiwa mtu anaudhika kwa kubaki na viungo vilivyolowalowa?
Jibu: Ikiwa hatopitwa na kule kufuatanisha, haina neno wakati wa haja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 05/11/2016
https://firqatunnajia.com/kujifuta-kwa-taulo-baada-ya-kutawadha/