Swali: Namna ya kuitikia salamu wakati mtu anapokuwa katika Sujuud au Rukuu´.
Jibu: Akiinua kichwa chake aashirie kwa mkono wake.
Swali: Hali ya kuwa amesujudu?
Jibu: Akiinua kichwa chake kutoka katika Sujuud aashirie mkono wake.
Muulizaji: Kutokana na kuenea kwa Hadiyth?
Ibn Baaz: Aashirie kwa mkono wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23337/ما-كيفية-رد-السلام-حال-الركوع-او-السجود
- Imechapishwa: 29/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)