Swali: Kuna ndugu mmoja anaishi nyumbani kwangu na sio miongoni mwa Mahram wa mke wangu na mimi huenda kazini na kumuacha nyumbani. Ni nini hukumu ya hilo?
Jibu: Maadamu hawakai faragha kati yake na mke wako, nyumbani kuna wanafamilia na wanawake wengine, haina neno. Hii sio faragha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Kuna ndugu mmoja anaishi nyumbani kwangu na sio miongoni mwa Mahram wa mke wangu na mimi huenda kazini na kumuacha nyumbani. Ni nini hukumu ya hilo?
Jibu: Maadamu hawakai faragha kati yake na mke wako, nyumbani kuna wanafamilia na wanawake wengine, haina neno. Hii sio faragha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (76) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-11-12.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuishi-na-ndugu-ambaye-sio-mahram-wa-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)