Swali: Katika mji wetu kuna ada ilioenea ya dhambi kubwa ambayo ni kutukana dhati ya Allaah. Ni ipi hukumu ya Uislamu kwa hili? Je, mke mwenye kufanya hivi atalikiwe ilihali hakubali hili?
Jibu: Kutukana dhati ya Allaah ni dhambi kubwa kabisa, bali ni kuritadi kutoka katika Uislamu. Ni wajibu kwa mwenye kutumbukia katika hilo akimbilie kuleta tawbah na msamaha. Vilevile akithirishe kufanya matendo mema. Akitubu tawbah ya kweli Allaah atamsamehe na mke wake atakuwa katika ulinzi wake kwa kutubia kwake.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/11)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Katika mji wetu kuna ada ilioenea ya dhambi kubwa ambayo ni kutukana dhati ya Allaah. Ni ipi hukumu ya Uislamu kwa hili? Je, mke mwenye kufanya hivi atalikiwe ilihali hakubali hili?
Jibu: Kutukana dhati ya Allaah ni dhambi kubwa kabisa, bali ni kuritadi kutoka katika Uislamu. Ni wajibu kwa mwenye kutumbukia katika hilo akimbilie kuleta tawbah na msamaha. Vilevile akithirishe kufanya matendo mema. Akitubu tawbah ya kweli Allaah atamsamehe na mke wake atakuwa katika ulinzi wake kwa kutubia kwake.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/11)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuishi-na-mke-aliyemtukana-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)