Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa dhidi ya kiongozi asiyehukumu kwa yale aliyoteremsha Allaah?
Jibu: Muombee du´aa ya uongofu, mafanikio na Allaah ajaalie kupitia mikono yake kuwarekebisha wananchi wake na awahukumu kwa Shari´ah ya Allaah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/547)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa dhidi ya kiongozi asiyehukumu kwa yale aliyoteremsha Allaah?
Jibu: Muombee du´aa ya uongofu, mafanikio na Allaah ajaalie kupitia mikono yake kuwarekebisha wananchi wake na awahukumu kwa Shari´ah ya Allaah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/547)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kuomba-duaa-dhidi-ya-kiongozi-asiyehukumu-kwa-shariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)