Swali: Wakati mwingine wakati ninaposoma al-Faatihah katika swalah ninairudi kwa sababu ninaonelea kuwa nimeisoma mbio mbio pasi na mazingatio…
Jibu: Hapana. Usomaji wa al-Faatihah ni nguzo na nguzo haikaririwi. Nguzo haikaririwi katika swalah. Inatosheleza kuisoma mara moja. Ni kama Sujuud; huwezi kusujudu kwa mara ya pili au tatu au ya nne. Nguzo haikaririwi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Wakati mwingine wakati ninaposoma al-Faatihah katika swalah ninairudi kwa sababu ninaonelea kuwa nimeisoma mbio mbio pasi na mazingatio…
Jibu: Hapana. Usomaji wa al-Faatihah ni nguzo na nguzo haikaririwi. Nguzo haikaririwi katika swalah. Inatosheleza kuisoma mara moja. Ni kama Sujuud; huwezi kusujudu kwa mara ya pili au tatu au ya nne. Nguzo haikaririwi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuirudi-al-faatihah-kwa-kukosa-mazingatio/