Aliulizwa al-Hasan [al-Baswriy]:
“Ni nani mwenye kuipa nyongo dunia?”
Akasema:
“Ni nani mwenye kuipa nyongo dunia ni yule ambaye akiwaona wengine anafikiria kuwa wao ni bora kuliko yeye.”
Hii ni maana kubwa aliyoichagua al-Hasan (Rahimahu Allaah). Mwenye kuipa nyongo dunia akimuona muislamu anafikiria kuwa ni bora kuliko yeye mbele ya Allaah (Jalla wa ´Alaa). Hili ni kwa sababu hakuufungamanisha moyo wake na dunia. Ameunyenyekeza moyo wake kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Sio mwenye kujinyanyua mbele ya watu.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 436
- Imechapishwa: 13/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket