Swali: Je, inafaa kuingia chooni na mfukoni mwangu kuna na simu ilio na Qur-aan na Adhkaar? Je, inafaa kugusa na kubeba simu hiyo kwa ambaye yuko na janaba pamoja na kuzingatia kwamba ndani yake kuna msahafu mzima?
Jibu: Hapana neno ikiwa simu imezimwa na haikuwashwa. Ni kama mfano wa kanda. Lakini ikiwa simu imewashwa basi haisilihi. Kwa sababu si sawa kusoma Qur-aan chooni na bafuni. Lakini ikiwa imezimwa hakuna neno kufanya hivo.
Haidhuru kwa mwenye janaba kushika simu ilio ndani msahafu. Kwa sababu Qur-aan iliyomo ndani kilugha haiitwi kuwa ni msahafu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-الدخول-بالجوال-الذي-فيه-القرآن-أو-الأذكار-إلى-دورة-المياه
- Imechapishwa: 12/06/2022
Swali: Je, inafaa kuingia chooni na mfukoni mwangu kuna na simu ilio na Qur-aan na Adhkaar? Je, inafaa kugusa na kubeba simu hiyo kwa ambaye yuko na janaba pamoja na kuzingatia kwamba ndani yake kuna msahafu mzima?
Jibu: Hapana neno ikiwa simu imezimwa na haikuwashwa. Ni kama mfano wa kanda. Lakini ikiwa simu imewashwa basi haisilihi. Kwa sababu si sawa kusoma Qur-aan chooni na bafuni. Lakini ikiwa imezimwa hakuna neno kufanya hivo.
Haidhuru kwa mwenye janaba kushika simu ilio ndani msahafu. Kwa sababu Qur-aan iliyomo ndani kilugha haiitwi kuwa ni msahafu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-الدخول-بالجوال-الذي-فيه-القرآن-أو-الأذكار-إلى-دورة-المياه
Imechapishwa: 12/06/2022
https://firqatunnajia.com/kuingia-chooni-na-simu-iliyo-na-msahafu-na-mwenye-janaba-kugusa-simu-yenye-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)