Swali: Kuhukumu kinyume na yale Aliyoteremsha Allaah kwa sababu ya rushwa inazingatiwa kuwa ni upungufu katika Dini?
Jibu: Ni kufuru ndogo isiyomtoa mtu katika Uislamu ikiwa kama anatambua kuwa ni mfanya maasi na wakati huo huo anaamini kuwa ni wajibu kuhukumu kwa Shari´ah…
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4734
- Imechapishwa: 01/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket