Swali: Kuhukumu kinyume na yale Aliyoteremsha Allaah kwa sababu ya rushwa inazingatiwa kuwa ni upungufu katika Dini?
Jibu: Ni kufuru ndogo isiyomtoa mtu katika Uislamu ikiwa kama anatambua kuwa ni mfanya maasi na wakati huo huo anaamini kuwa ni wajibu kuhukumu kwa Shari´ah…
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4734
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Kuhukumu kinyume na yale Aliyoteremsha Allaah kwa sababu ya rushwa inazingatiwa kuwa ni upungufu katika Dini?
Jibu: Ni kufuru ndogo isiyomtoa mtu katika Uislamu ikiwa kama anatambua kuwa ni mfanya maasi na wakati huo huo anaamini kuwa ni wajibu kuhukumu kwa Shari´ah…
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4734
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/kuhukumu-kwa-kanuni-kwa-kupewa-rushwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)