Haijuzu kwa yeyote kufanya kazi na beki za ribaa muda wa kuwa hakuna dharurah. Ikiwa unachelea pesa zako kupotea au kuibiwa, hapana vibaya kuhifadhi pesa zako benki kwa sharti usichukue ribaa. Ukiongezea kwamba pesa zako zinawasaidia ribaa. Wanaamsha pesa zako na kupata faida juu yake.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 284
- Imechapishwa: 09/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Usichukue faida ya pesa zako ulizoweka benki
Swali: Yule ambaye anaweka pesa zake katika benki ya Ribaa na wala hachukui faida pesa zake zinazingatiwa kuwa ni za Ribaa au amesaidia tu katika dhambi na uadui? Jibu: Akihitajia kuhifadhi pesa zake katika benki ya Ribaa na wala asichukue faida hakuna neno. Kitendo hichi ni kwa minajili ya dharurah.…
In "Ribaa"
Hifadhi pesa benki na usichukue pesa ya ziada
Swali: Mtu anaweza kuwa anapata mshahara katika benki miongoni mabenki ambapo akazitumia lakini hata hivyo kukabaki pesa kidogo. Je, inajuzu kwake kuacha pesa hizo au ni lazima azichukue na kwamba akiziacha basi anasaidia katika ribaa? Jibu: Kwanza kabla ya kujibu swali hili tunauliza: je, kuweka pesa benki ni halali au…
In "Ribaa"
Salama zaidi ni kuhifadhi pesa yako pasipokuwa benki
Swali: Mimi ni mfanyakazi wa umeme ambaye nalazimika kuweka pesa katika moja ya benki. Lakini akaunti yangu sichukui faida yoyote na inaitwa “akaunti yenye kudumu”. Benki inachukua asilimia mbili na nusu kwa kwa ajili ya huduma za benki. Jibu: Ikiwa hakuna ribaa na dharurah imepelekea kuhifadhi humo, basi hapana vibaya…
In "Ribaa"