Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia dawa ya kuleta hedhi kwa kuzingatia ya kwamba mwanamke huyo yuko ndani ya eda ya talaka rejea?
Jibu: Hapana. Asitumie kwa ajili ya kuharakisha eda iishe. Asifanye hivyo. Ama kutumia kwa ajili ya maradhi baada ya kupata ushauri kutoka kwa daktari, ni sawa. Lakini ni mwenye afya na yuko salama, anatumia kwa ajili ya kuharakisha eda, hapana. Haijuzu kufanya hivyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia dawa ya kuleta hedhi kwa kuzingatia ya kwamba mwanamke huyo yuko ndani ya eda ya talaka rejea?
Jibu: Hapana. Asitumie kwa ajili ya kuharakisha eda iishe. Asifanye hivyo. Ama kutumia kwa ajili ya maradhi baada ya kupata ushauri kutoka kwa daktari, ni sawa. Lakini ni mwenye afya na yuko salama, anatumia kwa ajili ya kuharakisha eda, hapana. Haijuzu kufanya hivyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuharakisha-eda-kwa-kutumia-dawa-ya-kuleta-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)