Swali: Mwenye kuhalalisha kichinjwa cha mshirikina kwa kutumia maneno ya Allaah (Ta´ala):
فَكُلُوا مِمَّا ذُكِرَ اسْمُ اللَّـهِ عَلَيْهِ إِن كُنتُم بِآيَاتِهِ مُؤْمِنِينَ
“Basi kuleni [nyama] iliyotajiwa Jina la Allaah mkiwa nyinyi ni wenye kuziamini Aayah Zake.” (06:118)
Anasema kuwa Aayah hii haihitajii tafsiri yoyote. Ameng´ang´ania Aayah hii na hasikii neno la yeyote yule. Je, mtu huyu anakuwa kafiri?
Jibu: Mwenye kuhalalisha kichinjwa cha mshirikina aliyefanya shirki kubwa kwa sababu ametaja jina la Allaah amekosea. Lakini hata hivyo sio kafiri kwa kuwepo utata. Lakini hana hoja yoyote katika Aayah. Kwa sababu ujumla wake unawekwa maalum kwa dalili za kijumla zenye kuharamisha kichinjwa cha mshirikina. Yule ambaye ana nguvu katika kubainisha na akajua hilo kutoka kwa mtu huyo, basi ni juu yake kumwelekeza.
- Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/130)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Mwenye kuhalalisha kichinjwa cha mshirikina kwa kutumia maneno ya Allaah (Ta´ala):
فَكُلُوا مِمَّا ذُكِرَ اسْمُ اللَّـهِ عَلَيْهِ إِن كُنتُم بِآيَاتِهِ مُؤْمِنِينَ
“Basi kuleni [nyama] iliyotajiwa Jina la Allaah mkiwa nyinyi ni wenye kuziamini Aayah Zake.” (06:118)
Anasema kuwa Aayah hii haihitajii tafsiri yoyote. Ameng´ang´ania Aayah hii na hasikii neno la yeyote yule. Je, mtu huyu anakuwa kafiri?
Jibu: Mwenye kuhalalisha kichinjwa cha mshirikina aliyefanya shirki kubwa kwa sababu ametaja jina la Allaah amekosea. Lakini hata hivyo sio kafiri kwa kuwepo utata. Lakini hana hoja yoyote katika Aayah. Kwa sababu ujumla wake unawekwa maalum kwa dalili za kijumla zenye kuharamisha kichinjwa cha mshirikina. Yule ambaye ana nguvu katika kubainisha na akajua hilo kutoka kwa mtu huyo, basi ni juu yake kumwelekeza.
Mhusika: al-Najnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/130)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuhalalisha-kichinjwa-cha-mshirikina-kwa-kuwa-ametaja-jina-la-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)