Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mtoto? Huku kwetu wanasema kuwa bora ni kufunga siku hiyo badala ya kusherehekea. Ni yepi ya sahihi?
Jibu: Sikukuu ya kuzaliwa au kufunga kwa sababu ya siku ya kuzaliwa yote hayo ni Bid´ah na hayana msingi. Hakika si venginevyo ni lazima kwa muislamu kujikurubisha kwa Allaah kwa yale aliyomfaradhishia na ´ibaadah zilizopendekezwa. Aidha awe katika hali zake zote ni mwenye kumshukuru na mwenye kumhimidi juu ya ile miaka yote inayompitia akiwa na afya njema.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (02/261) nr. (20834)
- Imechapishwa: 07/05/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mtoto? Huku kwetu wanasema kuwa bora ni kufunga siku hiyo badala ya kusherehekea. Ni yepi ya sahihi?
Jibu: Sikukuu ya kuzaliwa au kufunga kwa sababu ya siku ya kuzaliwa yote hayo ni Bid´ah na hayana msingi. Hakika si venginevyo ni lazima kwa muislamu kujikurubisha kwa Allaah kwa yale aliyomfaradhishia na ´ibaadah zilizopendekezwa. Aidha awe katika hali zake zote ni mwenye kumshukuru na mwenye kumhimidi juu ya ile miaka yote inayompitia akiwa na afya njema.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (02/261) nr. (20834)
Imechapishwa: 07/05/2022
https://firqatunnajia.com/kufunga-siku-ya-kuzaliwa-ya-mtoto/