Swali: Mtu anafunga safari kwa ajili ya kwenda kuswali nyuma ya imamu mwenye sauti nzuri au kwa ajili ya kufanya I´tikaaf kinyume na Misikiti mitatu.
Jibu: Ni mtu wa Bid´ah. Akifunga safari kwa ajili ya mtu mwenye sauti nzuri, huu ni uzushi. Kadhalika ni mtu wa Bid´ah ikiwa atafunga safari kwa ajili ya kufanya I´tikaaf kwenye Misikiti isiyokuwa Misikiti mitatu. Afanye I´tikaaf kwenye Msikiti wowote ulio karibu na yeye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Mtu anafunga safari kwa ajili ya kwenda kuswali nyuma ya imamu mwenye sauti nzuri au kwa ajili ya kufanya I´tikaaf kinyume na Misikiti mitatu.
Jibu: Ni mtu wa Bid´ah. Akifunga safari kwa ajili ya mtu mwenye sauti nzuri, huu ni uzushi. Kadhalika ni mtu wa Bid´ah ikiwa atafunga safari kwa ajili ya kufanya I´tikaaf kwenye Misikiti isiyokuwa Misikiti mitatu. Afanye I´tikaaf kwenye Msikiti wowote ulio karibu na yeye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/kufunga-safari-kuswali-nyuma-ya-imamu-mwenye-sauti-nzuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)