Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya ambaye hakula daku?
Jibu: Hapana vibaya. Funga yake ni sahihi. Lakini ameacha Sunnah. Sunnah ni yeye kula daku. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuleni daku. Kwani hakika katika daku kuna baraka.”
Daku ni Sunnah; ni mamoja swawm ni ya faradhi au imependekezwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akila daku. Sunnah ni yeye kula daku kwa kile kilichomkuia chepesi kama vile tende, chakula au tunda. Kitu hicho kinamsaidia katika funga yake. Akifunga bila kula daku hapana neno na swawm yake ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na baadhi ya Maswahabah zake waliwahi kufunga siku mbili mfululizo pasi na kula daku wala kukata swawm.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.binbaz.org.sa/mat/18661
- Imechapishwa: 18/04/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya ambaye hakula daku?
Jibu: Hapana vibaya. Funga yake ni sahihi. Lakini ameacha Sunnah. Sunnah ni yeye kula daku. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuleni daku. Kwani hakika katika daku kuna baraka.”
Daku ni Sunnah; ni mamoja swawm ni ya faradhi au imependekezwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akila daku. Sunnah ni yeye kula daku kwa kile kilichomkuia chepesi kama vile tende, chakula au tunda. Kitu hicho kinamsaidia katika funga yake. Akifunga bila kula daku hapana neno na swawm yake ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na baadhi ya Maswahabah zake waliwahi kufunga siku mbili mfululizo pasi na kula daku wala kukata swawm.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.binbaz.org.sa/mat/18661
Imechapishwa: 18/04/2022
https://firqatunnajia.com/kufunga-pasina-daku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)