Swali: Yafukuliwe kwa haja?
Jibu: Ndio, haja ikipelekea kufanya hivo yafukuliwe na yawekwe mbali na maeneo yake kujengwe msikiti, nyumba au kitu kingine.
Swali: Yanajumuishwa makaburi ya washirikina?
Jibu: Tumeyakusudia makaburi ya washirikina. Kuhusu makaburi ya waislamu hayafukuliwi. Yanabaki mahali pake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23621/هل-يجوز-نبش-القبور-للحاجة
- Imechapishwa: 01/03/2024
Swali: Yafukuliwe kwa haja?
Jibu: Ndio, haja ikipelekea kufanya hivo yafukuliwe na yawekwe mbali na maeneo yake kujengwe msikiti, nyumba au kitu kingine.
Swali: Yanajumuishwa makaburi ya washirikina?
Jibu: Tumeyakusudia makaburi ya washirikina. Kuhusu makaburi ya waislamu hayafukuliwi. Yanabaki mahali pake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23621/هل-يجوز-نبش-القبور-للحاجة
Imechapishwa: 01/03/2024
https://firqatunnajia.com/kufukua-makaburi-ya-washirikina/