Swali: Je, inajuzu kuwapa durusi binafsi kwa wanafunzi wenye kuhitajia kwa kuchukua pesa?
Jibu: Ndio, ikiwa haliendi kinyume na nidhamu [ya nchi]. Ni sawa ikiwa haliendi kinyume na nidhamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Je, inajuzu kuwapa durusi binafsi kwa wanafunzi wenye kuhitajia kwa kuchukua pesa?
Jibu: Ndio, ikiwa haliendi kinyume na nidhamu [ya nchi]. Ni sawa ikiwa haliendi kinyume na nidhamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/kufanya-durusi-binafsi-kwa-pesa/